MJUE SANA MUNGU,ILI UWE NA AMANI, NDIVYO MEMA YATAKAVYOKUIJIA

FURAHA NA AMANI YA MILELE.

Wendwa kuna wakati tunakutana na magumu makali, tunaweza kujisikia kama tunapoteza furaha na amani yetu ya ndani. Lakini, Biblia imesaidia watu wengi sana wapiganishe magumu yao ya kila siku, kupunguza mikazo ya kimwili na ya akili, na kuwa na maisha yenye furaha. Biblia inaweza kukusaidia na wewe ukuwe na furaha Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita. 5  Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli.

Subscribe to receive free email updates: